Kutokana na wenzetu wa Radio Okapi, ushuuda hizo za kuhuzunisha kutoka kwa baadhi ya wahanga waliokuja, mjini Kisangani, kutoka Kivu Kaskazini na Kusini na pia kutoka Kongo-Kati, zilifuatwa na washiriki katika sherehe hii. Ilikuwa vigumu kuzuwiya machozi wakati wa kufuata...
Wandishi wahabari walikumbushwa kazi yao katika lengo la kuishi pamoja kijamii. Baadae walifunzwa kuhusu kutafuta habari kwa kutumia akili inayotengenezwa...